even though our life is harder life is harder life mi skati tamaaa, tamaa, tamaaa siku moja nitapata Sijali siku nimekosa, nimepata, nimekula nimeshinda njaa mi skati tamaaa, tamaa, tamaaa siku moja nitapata tangu mdogo maisha yangu hayajawa simple Miaka mitano gerezani kariakoo nauza siso Mtaa umenitengenezea altitude ya kigangstar Wenzangu wamelala mimi niko mtaani naokota screpa Mi naamini machizi hawaamini. Maza anaamini hakuna maisha bila skuli Huku mtaani tunaamini bila kamali hatuli Matozi wa mtaa wana dream ya ku push lemoo Machizi wanaenda south boda visa la limo Maisha ya mtaa sio ishu kila mmoja yupo simple Machizi wanakula mpakani mwa mchana na usiku dada I miss u Mimi mototo wa mtaa so u know my details, im so black na kila bidhaa we sell Nikizipata so nigga don’t be mad me ni mototo wa mtaa and im not so hot.. even though our life is harder life is harder life mi skati tamaaa, tamaa, tamaaa siku moja nitapata Sijali siku nimekosa, nimepata, nimekula nimeshinda njaa mi skati tamaaa, tamaa, tamaaa siku moja nitapata mfano mi nimelelewa kwenye mtaa sio wale wa "mommy im growing i need to use your car" baba yangu alimpata mdau, kaachwa mama kwenye mataa kawekwa ndani kama mwali na mwanamke kisa njaa Mungu kama kanisahau, ila bado naomba dua Nashkuru, kwa nafasi mdogo mpaka nakua kwenye amani ya mkopo, Mapenzi ya kununua Utaniliteaga mimba hata godoro sijanunua Watoto wa siku hizi ndo maana mengi wanayajua mapema Maana wanacheza walichoona kwenye Sinema Mageziti kila siku ni ya Diamond na Wema Wakati mtaani kuna vitu vingi vya kusema Oh my God!, wear miwani niione vyema dunia Sijutii, kuwa mtaani na sjapanga kuikimbia Amani kwenye njaa ka maisha ya Mtanzania Na refer anaita kati na mfungaji kavizia God damn! even though our life is harder life is harder life mi skati tamaaa, tamaa, tamaaa siku moja nitapata Sijali siku nimekosa, nimepata, nimekula nimeshinda njaa mi skati tamaaa, tamaa, tamaaa siku moja nitapata Yeah Navuja jasho, bado Pesa ni nyekundu tu nna'window 'shopper' kwenye duka la maisha ya juu mautundu jua uskaripie level kaza full uskate tamaa ukaacha uhalisi watu hushonea department officially ya jamii usizikodi apartment kamjengee mama jonii ukiacha nilipofikia ni kina nani watu wa dunia uliposhika shikilia more peace kwa familia za wahanga pole mtanzania kaza na usichoke kuzipanga ukijituma kupangua vipindi baridi kali na kwa jua tukiungua kinachowaumbua ukweli, kitaa chote kinaujua usikate tamaa iwe nuru kwa kizazi hiki ambacho kweli naogopa wanasiasa wanapewa ngazi chapa kazi, jenga msondo niongoe makwaito ni sauzi kazwa na kitu yako mashauzi mwachie '.ish' The river camp kwa maisha na hizi ndo simulizshi even though our life is harder life is harder life mi skati tamaaa, tamaa, tamaaa siku moja nitapata Sijali siku nimekosa, nimepata, nimekula nimeshinda njaa mi skati tamaaa, tamaa, tamaaa siku moja nitapata
File download Mp3 Full Album kami compres menggunakan rar dan disimpan melalui hosting 4shared.com dan mediafire.com, file rar tidak menggunakan Password. How To Download